Pilikapilika za uvuvi wa majira ya baridi katika Mkoa wa Hunan, Katikati ya China

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 15, 2024
Pilikapilika za uvuvi wa majira ya baridi katika Mkoa wa Hunan, Katikati ya China
Wavuvi wakivua samaki katika Kijiji cha Yanhedi kilichoko Wilaya ya Nanxian, Mkoa wa Hunan, Katikati ya China, Januari 13, 2024. (Xinhua/Chen Sihan)

Wilaya ya Nanxian hivi sasa inashuhudia pilikapilika za uvuvi wa majira ya baridi zinazofanywa na wavuvi wenyeji ili kukidhi mahitaji ya soko. Uzalishaji wa kila mwaka wa mazao ya majini ya wilaya hiyo Mwaka 2023 ulifikia uzito wa tani 162,000.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha