

Lugha Nyingine
Picha: Kituo cha uzalishaji umeme kwa nishati ya jua cha Cerbong kilichopo kwenye mwinuko wa juu zaidi duniani huko Xizang, China (4)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 17, 2024
![]() |
Picha iliyopigwa Januari 15, 2024 ikionesha sehemu ya Kituo cha uzalishaji umeme kwa nishati ya jua cha Cerbong katika Mji wa Shannan, Mkoa unaojiendesha wa Xizang, Kusini Magharibi mwa China. (Xinhua/Tenzing Nima Qadhup) |
Kikiwa kinapatikana kwenye nyanda za juu za Qinghai-Tibet, Kituo cha uzalishaji umeme kwa nishati ya jua cha Cerbong kwa sasa ni kituo cha aina yake kilichoko kwenye mwinuko wa juu zaidi Duniani, na kilianza kutoa umeme kwenye gridi ya umeme kuanzia Desemba 30, 2023.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma