

Lugha Nyingine
Mazao ya jadi ya kilimo yavutia watu wengi kwenye soko la bidhaa la Mwaka Mpya wa Jadi wa China Chun’an, Zhejiang, China
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 18, 2024
Mwaka Mpya wa Jadi wa China unapokaribia, mazao maalum ya kiikolojia ya kilimo ya Wilaya ya Chun’an katika Mji wa Hangzhou, Mkoa wa Zhejiang, China yanaingia katika kipindi cha kuuzwa kwa wingi, na mazao mbalimbali maalum ya kilimo yamekuwa vifungashwa vya “Zawadi za Mwaka Mpya wa Jadi wa China” na yanauzwa vizuri sokoni. Miongoni mwao, paja la nguruwe, nyama zilizokaushwa, soseji na mazao maalum ya kilimo vimevutia watu wengi na kununuliwa sana.
(Picha na Xu Yu/Xinhua)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma