Katika picha: Treni za mwendo kasi zikiwa kwenye kituo cha utengenezaji wa treni mkoani Guizhou, China

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 26, 2024
Katika picha: Treni za mwendo kasi zikiwa kwenye kituo cha utengenezaji wa treni mkoani Guizhou, China
Picha iliyopigwa Januari 25, 2024 ikionyesha treni za mwendo kasi zikiwa kwenye kituo cha kaskazini cha utengenezaji wa treni cha Guiyang mkoani Guizhou, Kusini-Magharibi mwa China. (Xinhua /Liu Xu)

Mwaka Mpya wa Kijadi wa China, ambao ni sikukuu kubwa zaidi ya jadi nchini China, utaangukia Februari 10, huku pilika pilika za usafiri wa watu wakati wa sikukuu hiyo, ambazo kwa kawaida ni kipindi cha mahitaji makubwa ya usafiri ambapo watu hurudi nyumbani kujumuika na familia zao kusherehekea sikukuu, zitaanza Januari 26 hadi Machi 5. 

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha