

Lugha Nyingine
Wanafunzi wajifunza mila na desturi za Mwaka Mpya wa Jadi wa China katika Taasisi ya Confucius nchini Tanzania
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 29, 2024
Taasisi ya Confucius katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam nchini Tanzania imewaelimisha na kuwafahamisha wanafunzi wenyeji mila na desturi zinazohusiana na Mwaka Mpya wa Jadi wa China, au Sikukuu ya Spring siku ya Ijumaa.
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma