Mandhari ya kushangaza ya “Barabara Kuu inayoning’inia kwenye Miteremko ya Vilima” wakati wa theluji

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 30, 2024
Mandhari ya kushangaza ya “Barabara Kuu inayoning’inia kwenye Miteremko ya Vilima” wakati wa theluji

Picha hizi zilizopigwa tarehe 28, Januari zikionesha mandhari nzuri ya theluji ya sehemu ya miteremko wa Chegenpo ya Barabara Kuu ya Shuangmu katika Wilaya ya Xintang ya Mji wa Shien wa Mkoa wa Hubei, China. (Picha na Zhang Yuanming/ChinaNews)

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha