Wakulima kote China wawa na pilika nyingi za uzalishaji wa kilimo wakati Siku ya Yushui yakiwadia (5)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Februari 19, 2024
Wakulima kote China wawa na pilika nyingi za uzalishaji wa kilimo wakati Siku ya Yushui yakiwadia
Picha iliyopigwa Februari 18, 2024 ikionyesha wakulima wakifanya kazi mashambani katika Wilaya ya Xianju ya Mji wa Taizhou, Mkoa wa Zhejiang, Mashariki mwa China. (Picha na Wang Huabin/Xinhua)

Wakulima kote China wako na shughuli nyingi za uzalishaji wa kilimo wakati siku ya Yushui (Maji ya Mvua), ambayo ni ya pili katika vipindi 24 vya hali ya hewa kwa kalenda ya kilimo ya China, inapokaribia. Siku ya Yushui inaangukia leo Februari 19. 

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha