Watu wa Kabila la Wamiao washerehekea siku ya "Tiaohua" ya kuombea mavuno na ustawi wa mwaka mpya

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Februari 20, 2024
Watu wa Kabila la Wamiao washerehekea siku ya
Watu wa kabila la Wamiao wakicheza ngoma kusherehekea siku ya "Tiaohua" katika Kijiji cha Gaoxing cha Wilaya Maalum ya Liuzhi ya Mji wa Liupanshui, Mkoa wa Guizhou, Kusini Magharibi mwa China, Februari 19, 2024. (Xinhua/Tao Liang)

Watu wa kabila la Wamiao Jumatatu wamesherehekea siku ya "Tiaohua" ya kuombea mavuno na ustawi wa mwaka mpya. 

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha