Maonesho ya picha za kiutamaduni ya Sri Lanka na China yalenga kuhimiza urafiki na kufundishana kati ya tamaduni

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Februari 23, 2024
Maonesho ya picha za kiutamaduni ya Sri Lanka na China yalenga kuhimiza urafiki na kufundishana kati ya tamaduni
Watu wakitembelea maonesho ya picha za kiutamaduni ya Sri Lanka na China huko Colombo, Mji Mkuu wa Sri Lanka, tarehe 16, Februari. (Picha na Wu Yue/Xinhua)

Maonesho ya wiki moja ya picha za kiutamaduni ya Sri Lanka na China yamefanyika mjini Colombo kuanzia tarehe 16, Februari. Maonesho hayo yanalenga kuhimiza zaidi urafiki wa jadi wa Sri Lanka na China, na kuhimiza mawasiliano na kufundishana kati ya nchi hizo mbili katika sekta ya utamaduni, yakivutia watu wengi huko na watalii kutoka China kuyatazama.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha