Washauri wa kisiasa wahudhuria mashauriano ya vikundi kwenye mkutano mkuu wa pili wa Kamati ya Kitaifa ya CPPCC

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Machi 09, 2024
Washauri wa kisiasa wahudhuria mashauriano ya vikundi kwenye mkutano mkuu wa pili wa Kamati ya Kitaifa ya CPPCC
Washauri wa kisiasa kutoka sekta ya kidini wakihudhuria mashauriano ya kundi kwenye mkutano mkuu wa pili wa Kamati ya Kitaifa ya 14 ya Baraza la Mashauriano ya Kisiasa la Umma la China (CPPCC) mjini Beijing, China, Machi 7, 2024. (Xinhua/Li He)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Deng Jie)

Picha