China yaongeza kasi ya ujenzi wa Bandari ya Biashara Huria ya Hainan

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Machi 15, 2024
China yaongeza kasi ya ujenzi wa Bandari ya Biashara Huria ya Hainan
Picha iliyopigwa Machi 13, 2024 ikionyesha Gati la Kimataifa la Kontena la Yangpu katika Mkoa wa Hainan, Kusini mwa China. (Xinhua/Guo Cheng)

HAIKOU - Katika kipindi cha miaka kadhaa iliyopita, China imepata maendeleo kwa hatua madhubuti katika kujenga bandari ya biashara huria ya kiwango cha juu (FTP) katika Mkoa wa Hainan ambao ni mkoa wake wa visiwa, kusini mwa China. Miradi mikubwa katika mkoa huo inaendelea kujengwa kama ilivyopangwa kwa utaratibu.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha