Rais Xi Jinping akutana na waziri mkuu wa Uholanzi Mark Rutte

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Machi 28, 2024
Rais Xi Jinping akutana na waziri mkuu wa Uholanzi Mark Rutte
Mchana wa Tarehe 27, Machi, Rais Xi Jinping wa China amekutana na waziri mkuu wa Uholanzi Mark Rutte aliyeko ziarani nchini China katika Jumba la Mikutano ya Umma la Beijing. (Picha na Li Xueren/Xinhua)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha