Watu wakitazama kupatwa kwa jua kikamilifu kote Amerika Kaskazini

(Tovuti ya Gazeti la Umma) April 09, 2024
Watu wakitazama kupatwa kwa jua kikamilifu kote Amerika Kaskazini
Watu wakitazama kupatwa kwa jua kikamilifu katika eneo la Times Square, New York, Marekani, Aprili 8, 2024. (Picha na Michael Nagle/Xinhua)

Kupatwa kwa jua kikamilifu kumetokea kote Amerika Kaskazini siku ya Jumatatu, ambapo wakaazi na wageni walikusanyika katika maeneo tofauti kwenye njia ya kupatwa huko kwa jua ili kutazama na kushangilia. Kupatwa huko kwa jua kikamilifu ambako kumepewa jina la utani la Kupatwa kwa Jua Kukubwa kwa Amerika kutokana na kupita kwake kwa urefu juu ya Amerika Kaskazini kumeonekana angani juu ya sehemu za Mexico, majimbo 15 ya Marekani na mashariki mwa Canada.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha