

Lugha Nyingine
Mji wa Xi'an, Kaskazini Magharibi mwa China wavutia watalii kwa maua mazuri na maeneo ya kitamaduni
(Tovuti ya Gazeti la Umma) April 15, 2024
![]() |
Watu wakitazama maua ya cherry kwenye eneo la Pagoda ya Small Wild Goose mjini Xi'an, Mkoa wa Shaanxi, Kaskazini-Magharibi mwa China, Machi 27, 2024. (Xinhua/Zou Jingyi) |
Mji wa Xi'an katika Mkoa wa Shaanxi, Kaskazini-Magharibi mwa China, mojawapo ya miji mikuu ya kale katika historia ya China, ni kivutio maarufu cha watalii hasa katika majira ya mchipuko. Mji huo hufurahisha watalii kwa maua yaliyochanua na mchangamano wa pande zote wa kitamaduni katika maeneo muhimu ya urithi wa kitamaduni kama vile ukuta wa kale wa mji, Giant Wild Goose Pagoda, Hekalu la Qinglong, Bustani ya Urithi wa Taifa ya Kasri la Daming, n.k.
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma