Rais Xi akutana na Ujumbe wa Wachezaji wa China wa Michezo ya 33 ya Olimpiki ya Majira ya Joto (2)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Agosti 21, 2024
Rais Xi akutana na Ujumbe wa Wachezaji wa China wa Michezo ya 33 ya Olimpiki ya Majira ya Joto
Tarehe 20, Agosti, viongozi wa chama na serikali Xi Jinping, Zhao Leji, Wang Huning, Cai Qi, Li Xi, na Han Zheng wamekutana na wachezaji wote wa ujumbe wa China wa Michezo ya 33 ya Olimpiki ya Majira ya Joto kwenye Jumba la Mikutano ya Umma la Beijing. (Picha na Xie Huanchi/Xinhua)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha