

Lugha Nyingine
Mkutano wa 19 wa Viongozi wa Kundi la 20 (G20) kufanyika Rio de Janeiro
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Novemba 18, 2024
![]() |
Wafanyakazi wakifanya maandalizi kwa ajili ya mkutano wa viongozi wa G20 mjini Rio de Janeiro, Brazili, Novemba 16. |
Mkutano wa 19 wa Viongozi wa Kundi la 20 (G20) umepangwa kufanyika Rio de Janeiro, Brazili, kuanzia leo Jumatatu, tarehe 18 hadi kesho Jumanne, tarehe19 Novemba.
(Picha na Wang Tiancong/Xinhua)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma