

Lugha Nyingine
Fuyang Anhui: Mavuno makubwa kwenye mabanda ya nyanya
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Desemba 30, 2024
Katika miaka ya hivi karibuni, eneo la Yingdong, mjini Fuyang limebadilisha muundo wake wa kilimo kulingana na hali ya eneo hilo na kutumia mfumo wa "ushirika + vituo + wakulima" ili kuwaongoza wakulima kupanda nyanya, biringani, matango na mboga nyingine za kijani zisizo na uchafuzi wa mazingira, kuongeza mapato ya wakulima na kusaidia ufufuaji wa vijijini kwa pande zote. (Picha na vip.people.com.cn)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma