

Lugha Nyingine
Muonekano wa Kisiwa cha Weizhou katika Mkoa wa Guangxi, Kusini mwa China
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 22, 2025
![]() |
Picha hii iliyopigwa kwa droni Januari 18, 2025 ikionyesha muonekano wa Kisiwa cha Weizhou katika Mkoa unaojiendesha wa Kabila la Wazhuang wa Guangxi, kusini mwa China. (Xinhua/Jin Haoyuan) |
Kisiwa cha Weizhou kiko katika Ghuba ya Beibu, Mkoa unaojiendesha wa Kabila la Wazhuang wa Guangxi, kusini mwa China, hiki ni kisiwa cha volkeno cha umri mdogo zaidi cha China. Katika miaka ya hivi karibuni, serikali ya mtaa katika mkoa huo imeimarisha ulinzi wa ikolojia ya baharini na kuendeleza miundombinu katika kisiwa hicho, ikikifanya kuwa sehemu yenye kivutio maarufu kwa watalii.
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Shughuli mbalimbali zafanyika sehemu mbalimbali China kukaribisha Mwaka Mpya ujao wa Jadi wa China
Stempu za mwaka mpya wa nyoka zatolewa katika Taasisi ya Confucius mjini Minsk, Belarus
Mandhari ya Ziwa Sayram katika Mkoa wa Xinjiang, nchini China
Mahitaji ya dim sum na vitafunio yaongezeka nchini Indonesia kabla ya Mwaka Mpya wa Jadi wa China
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma