

Lugha Nyingine
Hafla ya Kukaribisha Panda wa China yafanyika katika Bustani ya Wanyama ya Adelaide, Australia
Serikali ya Jimbo la Australia Kusini nchini Australia imefanya hafla ya kukaribisha panda wawili wapya wa China katika Bustani ya Wanyama ya Adelaide Januari 21. Panda dume“Xing Qiu”na panda jike“Yi Lan” walifika Adelaide kwa ndege maalum Desemba15, 2024, wakianza raundi mpya ya ushirikiano wa utafiti kati ya China na Australia kuhusu uhifadhi wa panda. Kwa mujibu wa makubaliano, panda hao wataishi Australia kwa kipindi cha miaka 10.
Shughuli mbalimbali zafanyika sehemu mbalimbali China kukaribisha Mwaka Mpya ujao wa Jadi wa China
Stempu za mwaka mpya wa nyoka zatolewa katika Taasisi ya Confucius mjini Minsk, Belarus
Mandhari ya Ziwa Sayram katika Mkoa wa Xinjiang, nchini China
Mahitaji ya dim sum na vitafunio yaongezeka nchini Indonesia kabla ya Mwaka Mpya wa Jadi wa China
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma