

Lugha Nyingine
Habari Picha: Kituo cha Matengenezo yote ya Ndege katika sehemu moja mjini Haikou, China
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Februari 18, 2025
Tangu Kituo cha Matengenezo yote ya Ndege katika sehemu moja cha Bandari ya Biashara Huria ya Hainan, China kilipoanza kufanya kazi mwaka 2022, jumla ya ndege 83 na injini 17 zimetengenezwa na kukarabatiwa kwenye eneo hilo la forodha, zikiwa na thamani ya jumla ya Yuan bilioni 45.05 (karibia dola za Marekani bilioni 6.2).
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma