

Lugha Nyingine
Mashamba ya chai kote wilayani Wuyi yaingia majira ya mavuno
![]() |
Wakulima wakichuma majani ya chai kwenye mashamba ya chai ya Wangzhai ya Wilaya ya Wuyi ya Mji wa Jinhua, Mkoa wa Zhejiang, Mashariki mwa China, Machi 5, 2025. |
Majira ya mchipuko yanapowadia, mashamba ya chai kote wilayani Wuyi, Mkoa wa Zhejiang, Mashariki mwa China yameingia katika majira ya mavuno.
Katika miaka ya hivi katibuni, wilaya hiyo ya Wuyi imekuwa ikiendeleza shughuli ya chai ambayo imekuwa nguzo ya shughuli zake zote. Hadi kufikia mwishoni mwa mwaka 2024, ukubwa wa jumla wa eneo la mashamba ya chai katika wilaya hiyo umefikia mu 125,700 (hekta takriban 8,380). Wakulima zaidi ya 60,000 wameweza kufaidika moja kwa moja na biashara husika za chai.
Watu mjini Lhasa, China wafanya maandalizi ya sikukuu ijayo ya Mwaka Mpya wa Watibet
Mandhari na wanyama katika Hifadhi ya Taifa ya Nairobi, Kenya
Habari Picha: Kituo cha Matengenezo yote ya Ndege katika sehemu moja mjini Haikou, China
Dunhuang katika Mkoa wa Gansu wa China yakaribisha maendeleo mapya
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma