

Lugha Nyingine
Rais wa Mali asaini amri ya kufuta vyama vyote vya siasa
Rais wa Mali Jenerali Assimi Goita amesaini amri jana Jumanne, akitangaza kufutwa kwa vyama vyote vya siasa na taasisi za kisiasa nchini humo.
Kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari vya nchi hiyo, Baraza la Taifa la Mpito la Mali lilikutana Jumatatu wiki hii na kupiga kura kupitisha rasimu ya azimio la kufuta "Sheria ya Katiba ya Vyama vya Kisiasa" na "Sheria ya Hadhi ya Makundi ya Upinzani".
Serikali ya mpito ya Mali ilikutana jana Jumanne kupitia rasimu hiyo, na Rais Goita alisaini amri hiyo baada ya mjadala wa mkutano maalum wa Baraza la Mpito la Serikali.
Upandaji mahindi waingia kipindi cha kilele katika Mkoa wa Mongolia ya Ndani, China
UNESCO latoa wito upya wa kuimarishwa ulinzi wa maeneo ya urithi ya Afrika
Maonyesho ya Kimataifa ya Baiskeli ya China 2025 yaanza Shanghai
Shaolin Kungfu, chombo muhimu cha mawasiliano ya Utamaduni wa China na ulimwengu wa nje
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma