Siku ya Kimataifa ya Chai: ukaribu wa Xi Jinping na chai

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Mei 22, 2025

Chai, ambayo chimbuko lake ni China, ni maarufu duniani kote. Kutoka kwenye Njia ya Kale ya Hariri, Njia ya Kale ya Farasi kusafirisha Chai na Njia ya Kale ya Boti za kusafirisha chai, hadi Ukanda wa Kiuchumi wa Njia ya Hariri na Njia ya Hariri ya Baharini ya Karne ya 21, Chai inayovuka wakati na mahali, inapendwa na watu duniani kote.

Mei 21 ni maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Chai. “Maadili bora yanaendana na wakati.” Rais wa China Xi Jinping, ambaye pia ni katibu mkuu wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) na mwenyekiti wa Kamati Kuu ya Kijeshi ya China (CMC), amekuwa akitumia chai kama njia ya kueleza falsafa za China, akileta “harufu nzuri ya chai ya China” kwa dunia.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha