Rais Xi aondoka Astana baada ya kuhudhuria Mkutano wa pili wa Wakuu wa China na Asia ya Kati

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 19, 2025

Rais wa China Xi Jinping akiondoka kuelekea Beijing baada ya kuhudhuria Mkutano wa pili wa Wakuu wa China na Asia ya Kati mjini Astana, Kazakhstan, Juni 18, 2025. (Xinhua/Xie Huanchi)

Rais wa China Xi Jinping akiondoka kuelekea Beijing baada ya kuhudhuria Mkutano wa pili wa Wakuu wa China na Asia ya Kati mjini Astana, Kazakhstan, Juni 18, 2025. (Xinhua/Xie Huanchi)

ASTANA - Rais wa China Xi Jinping ameondoka Astana jana Jumatano na kuelekea Beijing baada ya kuhudhuria Mkutano wa pili wa Wakuu wa China na Asia ya Kati uliofanyika mjini Astana, Kazakhstan ambapo wakati wa kuondoka kwake, Rais wa Kazakhstan Kassym-Jomart Tokayev na maofisa wengine waandamizi walimwaga kwenye uwanja wa ndege.

Ndege za kivita za Kikosi cha Anga cha Kazakhstan ziliisindikiza ndege maalum ya Rais Xi baada ya kupaa.

Akiwa njiani kuelekea uwanja wa ndege, wajumbe wa kampuni za China na wanafunzi wa China wanasoma nchini humo walijipanga barabarani, wakipeperusha bendera za taifa za China na Kazakhstan kumpongeza Rais Xi kwa uhudhuriaji wenye mafanikio katika mkutano huo. 

Rais wa China Xi Jinping akiondoka Astana na kuelekea Beijing baada ya kuhudhuria Mkutano wa pili wa Wakuu wa China na Asia ya Kati mjini Astana, Kazakhstan, Juni 18, 2025. (Xinhua/Xie Huanchi)

Rais wa China Xi Jinping akiondoka Astana na kuelekea Beijing baada ya kuhudhuria Mkutano wa pili wa Wakuu wa China na Asia ya Kati mjini Astana, Kazakhstan, Juni 18, 2025. (Xinhua/Xie Huanchi)

Rais wa China Xi Jinping akiondoka Astana na kuelekea Beijing baada ya kuhudhuria Mkutano wa pili wa Wakuu wa China na Asia ya Kati mjini Astana, Kazakhstan, Juni 18, 2025. (Xinhua/Bi Xiaoyang)

Rais wa China Xi Jinping akiondoka Astana na kuelekea Beijing baada ya kuhudhuria Mkutano wa pili wa Wakuu wa China na Asia ya Kati mjini Astana, Kazakhstan, Juni 18, 2025. (Xinhua/Bi Xiaoyang)

Rais wa China Xi Jinping akiondoka Astana na kuelekea Beijing baada ya kuhudhuria Mkutano wa pili wa Wakuu wa China na Asia ya Kati mjini Astana, Kazakhstan, Juni 18, 2025. (Xinhua/Li Renzi)

Rais wa China Xi Jinping akiondoka Astana na kuelekea Beijing baada ya kuhudhuria Mkutano wa pili wa Wakuu wa China na Asia ya Kati mjini Astana, Kazakhstan, Juni 18, 2025. (Xinhua/Li Renzi)

Rais wa China Xi Jinping akiondoka Astana na kuelekea Beijing baada ya kuhudhuria Mkutano wa pili wa Wakuu wa China na Asia ya Kati mjini Astana, Kazakhstan, Juni 18, 2025. (Xinhua/Bi Xiaoyang)

Rais wa China Xi Jinping akiondoka Astana na kuelekea Beijing baada ya kuhudhuria Mkutano wa pili wa Wakuu wa China na Asia ya Kati mjini Astana, Kazakhstan, Juni 18, 2025. (Xinhua/Bi Xiaoyang)

Rais wa China Xi Jinping akiondoka Astana na kuelekea Beijing baada ya kuhudhuria Mkutano wa pili wa Wakuu wa China na Asia ya Kati mjini Astana, Kazakhstan, Juni 18, 2025. (Xinhua/Liu Jie)

Rais wa China Xi Jinping akiondoka Astana na kuelekea Beijing baada ya kuhudhuria Mkutano wa pili wa Wakuu wa China na Asia ya Kati mjini Astana, Kazakhstan, Juni 18, 2025. (Xinhua/Liu Jie)

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Renato Lu)

Picha