

Lugha Nyingine
Juhudi za misaada zaendelea katika Wilaya ya Rongjiang iliyokumbwa na mafuriko mkoani Guizhou, China (5)
![]() |
Watu wa kujitolea wakileta msaada wa dharura wa chakula katika Wilaya ya Rongjiang iliyokumbwa na mafuriko, Mkoa wa Guizhou, Kusini-Magharibi mwa China, Juni 29, 2025. (Xinhua/Liu Xu) |
Mafuriko makubwa yamerejea katika Wilaya ya Rongjiang, Mkoa wa Guizhou, kusini-magharibi mwa China, ikisababisha serikali ya mtaa ya mkoa huo ikifuata mwitikio wa dharura wa daraja la juu zaidi wa kukabiliana na mafuriko hayo, kuanzia saa 6:30 mchana juzi Jumamosi.
Tangu mafuriko hayo yaanze, wilaya hiyo ya Rongjiang, yenye idadi ya watu 385,000, imekuwa ikipokea msaada wa uokoaji wa dharura kutoka kote kwa mamlaka husika na watu wa kujitolea.
Kituo cha mafunzo cha Bajiquan mkoani Hebei, China chakaribisha wanafunzi kutoka Russia
Picha: Mandhari ya mbuga katika majira ya joto mkoani Gansu, China
Bustani ya Kimataifa ya Pump Track ya Shenyang, China: Utambulisho Mpya wa Michezo Mjini
Ukumbi wa Kuutazama Mji wa “Kilele cha Tianjin” wa China wafunguliwa rasmi kwa umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma