Lugha Nyingine
Uboreshaji wa reli inayounganisha Suifenhe na mpaka wa China na Russia wakamilika
 (Tovuti ya Gazeti la Umma) Septemba 28, 2025
		Uboreshaji wa reli inayounganisha Suifenhe na mpaka wa China na Russia, katika Mkoa wa Heilongjiang, kaskazini mashariki mwa China umekamilika rasmi jana Jumamosi, huku njia mpya zilizoanza kufanya kazi zikiwezesha treni kuendeshwa kwa kasi ya hadi kilomita 120 kwa saa, zaidi ya mara mbili ya kikomo cha hapo awali cha kasi ya kilomita 55 kwa saa, ikiongeza kwa kiasi kikubwa uwezo wa usafiri.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
	Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
	people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma




