Lugha Nyingine
Rais wa China ahimiza juhudi za kufanya vizuri majumuisho na kutumia ipasavyo “uzoefu wa maendeleo wa Yiwu” mashariki mwa China
Rais Xi Jinping wa China amehimiza juhudi za kufanya vizuri majumuisho kuhusu uzoefu wa maendeleo wa mji wa Yiwu katika mkoa wa Zhejiang mashariki mwa China, na kuutumia vyema.
Rais Xi, ambaye pia ni katibu mkuu wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China na mwenyekiti wa Kamati Kuu ya Kijeshi (CMC), alisema hayo katika maagizo ya hivi karibuni.
Rais Xi amesema bidhaa ndogo za Yiwu zimeingia kwenye soko pana na kuwa sekta kubwa, na kuunda “uzoefu wa maendeleo wa Yiwu”, huu ni uzoefu uliofanywa kwa mafanikio katika kukuza uchumi wa maeneo ya wilaya kwa kufuata hali halisi.

Ndege wa Kwarara waingia msimu wa kuzaliana huko Shaanxi, China

Eneo la kaboni-sifuri katika Mkoa wa Hainan laonyesha vitendo vya kijani vya China

Vifaa vya kisasa vya usafi vyatoa huduma kwenye Mkutano wa Mwaka wa Jukwaa la Boao la Asia 2026

Eneo Jipya la Xiong'an la China labadilika kuwa mji wenye nguvu hai kutoka mpango
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma