Sera ya kutotoza ushuru yahimiza mchakato wa maendeleo ya mambo ya kisasa ya China na Afrika (5)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Mei 09, 2026
Sera ya kutotoza ushuru yahimiza mchakato wa maendeleo ya mambo ya kisasa ya China na Afrika
Picha iliyopigwa tarehe 10, Desemba, 2025 ikionesha treni ya mizigo ikiendeshwa kwenye reli ya Lagos-Ibadan nchini Nigeria. Reli hiyo ilijengwa kwa msaada wa kampuni ya China Civil Engineering Construction (CCECC). (Picha na CCECC/kupitia Xinhua)

Kuanzia tarehe Mosi, Mei, China imeanza kutekeleza sera ya kutotoza ushuru kwa nchi zote 53 za Afrika zenye uhusiano wa kidiplomasia nayo. Hatua hiyo ya China imechukuliwa kuwa hatua muhimu kwa kuhimiza ufunguaji mlango na ushirikiano kati ya nchi za Dunia ya Kusini, wakati hali ya kujilinda na kuparaganyika kiuchumi inazidi kuonekana duniani kote.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha