Lugha Nyingine
Mji wa Bijie waendeleza shughuli za kupigakambi za magari ya RV ili kuchochea utalii wa majira ya joto mkoani Guizhou, China (6)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Agosti 14, 2026
Katika miaka ya hivi karibuni, Mji wa Bijie wa Mkoa wa Guizhou, kusini-magharibi mwa China umetumia vivutio vyake vya mazingira ya asili na hali ya hewa nzuri ya milimani kwa kuhimiza maendeleo ya vituo vya kupigia kambi kwa magari ya RV (magari ya mfano wa nyumba) na kuchochea utalii wa majira ya joto, hali ambayo imevutia wasafiri wa kutumia magari ya RV kutoka sehemu mbalimbali za China.
(Wahariri wa tovuti:Liu Mengxue,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma




