Picha iliyopigwa Februari 10, 2022 ikionesha kileta bahati cha Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi ya walemavu ya Beijing 2022 Shuey Rhon Rhon aliyetengenezwa kwa karatasi huko Shenyang, Mji Mkuu wa Mkoa wa Liaoning, Kaskazini Mashariki mwa China. (Xinhua/Yang Qing) BEIJING - Kamati ya Kimataifa ya Michezo ya Olimpiki ya Walemavu (IPC) na Kamati ya Maandalizi ya Michezo ya Olimpiki na Michezo ya Olimpiki ya walemavu ya Majira ya baridi ya Beijing 2022 (BOCOG) zimefanya mkutano wao wa kwanza wa ngazi ya juu kwa njia ya video Jana Jumapili, ambapo walijadili maandalizi ya Michezo ya Olimpiki ya walemavu.
Wachezaji wakihudhuria mkutano wa uhamasishaji wa Timu ya China ya Michezo ya Olimpiki ya Walemavu ya Majira ya Baridi ya Beijing katika Kituo cha Usimamizi wa Michezo ya Walemavu cha China cha eneo la Shunyi, Beijing Februari 21. (Cai Yang/Xinhua) Timu ya China ya Michezo ya Olimpiki ya Walemavu ya Majira ya Baridi ya Beijing imeundwa hapa Beijing Februari 21.
(Picha inatoka CRI.) Mkurugenzi wa Idara ya Olimpiki ya Kamati ya Olimpiki ya Kimataifa, Bw.
(Picha inatoka CRI.) Mbio za kukimbiza Mwenge wa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi ya Beijing zimeanza rasmi tarehe 2 asubuhi saa tatu katika uwanja wa Bustani ya Kusini ya Hifadhi ya Misitu ya Olimpiki ya Beijing.