人民网首页

Picha

China na Umoja wa Afrika zafanya mazungumzo ya kimkakati katika makao makuu ya AU

Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi, ambaye pia ni Mjumbe wa Ofisi ya Siasa ya Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC), na Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU) Mahmoud Ali Youssouf wakifanya kwa pamoja Mazungumzo ya tisa ya Kimkakati kati ya China na AU kwenye makao makuu ya AU mjini Addis Ababa, mji mkuu wa Ethiopia, Januari 8, 2026. (Xinhua/Han Xu) Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi na Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU) Mahmoud Ali Youssouf kwa pamoja wamefanya Mazungumzo ya 9 ya Kimkakati kati ya China na AU kwenye makao makuu ya Umoja huo mjini Addis Ababa, Ethiopia.

上一页2 3 4 5 6