人民网首页

Picha

Mradi wa maji unaoungwa mkono na China wapunguza kesi za kichocho nchini Tanzania

Wakazi wenyeji wakichukua maji safi kwenye bomba la umma lililowekwa chini ya mradi wa maji safi unaosaidiwa na China huko Chaani, Zanzibar, Tanzania, Machi 22, 2026. (Xinhua/Emmanuel Herman) ZANZIBAR - Shukrani na matumaini sasa ni sehemu ya maisha ya kila siku kwa Juma Makame Mohamed na Huzaima Bakari Haji, wakazi wawili wa Chaani ambao jamii yao imebadilishwa na mradi wa maji safi unaoungwa mkono na China.

Fu Hua, Mkuu wa Shirika la Habari la China, Xinhua, akitoa hotuba kwa njia ya video kwenye hafla ya ufunguzi wa Jukwaa la Vyombo vya Habari la China na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), mjini Kinshasa, DRC, Machi 18, 2026. (Xinhua/Yang Guang)

Jukwaa la vyombo vya habari la China na DRC lahimiza kunufaishana na ushirikiano wenye mafanikio kwa pande zote

KINSHASA - Jukwaa la Vyombo vya Habari la China na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) chini ya kaulimbiu ya "Mambo ya Kisasa ya China na Njia ya Maendeleo ya DRC: Kuchunguza kwa Pamoja Njia Mpya kwa ajili ya Kunufaishana na Ushirikiano wenye Mafanikio kwa Pande Zote," limefanyika jana Jumatano mjini Kinshasa, mji mkuu wa DRC. Jukwaa hilo limevutia wanasiasa, wawakilishi wa vyombo vya habari na viongozi wa kibiashara wapatao 250 kutoka nchi zote mbili.

Vikaangio na Ndoto: Vijana wa Tanzania Wakumbatia Sanaa ya Upishi wa Kichina

Wanafunzi wa Tanzania wakijifunza kupika baozi kwa mvuke huko Dar es Salaam, Tanzania, Januari 28, 2026. (Xinhua/Emmanuel Herman) DAR ES SALAAM – Ndani ya jiko lenye pilikapilika nyingi katikati ya jiji la Dar es Salaam, Ruth Washima Seni, mwanafunzi kijana wa mambo ya hoteli nchini Tanzania, anajaribu kukata viazi mviringo katika vipande vyembamba kama nywele.

Waziri Mkuu wa Ethiopia Azindua Mradi wa Kuzalisha Umeme kwa Nishati ya Upepo Uliojengwa na Kampuni ya China

Picha hii ya kumbukumbu isiyo na tarehe ikionyesha mandhari ya Kituo cha Kuzalisha Umeme kwa Nishati ya Upepo cha Aysha II katika Jimbo la Somali, Ethiopia. (Kampuni ya Umeme ya Dongfang/kupitia Xinhua) ADDIS ABABA - Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed Jumamosi alizindua mradi wa kipindi cha kwanza wa Kituo cha Kuzalisha Umeme kwa Nishati ya Upepo cha Aysha II katika Jimbo la Somali, akisisitiza kwamba maendeleo ya nishati safi ni kiini cha kazi ya muda mrefu ya kubadilisha mundo wa uchumi wa nchi hiyo.

上一页1 2 3 4 5 下一页