

Lugha Nyingine
Guiyang: Udungaji wa chanjo ya korona wafanyika shuleni
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Novemba 03, 2021
Hivi karibuni, mji wa Guiyang, mkoa wa Guizhou, China ulianzisha kazi ya kudunga chanjo kwa watoto kutoka wenye miaka 3 hadi 11. Madaktari na wauuguzi wameingia shuleni kuwachanja wanafunzi.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma