Vumbi lililotokana na dhoruba za mchanga latokea Cairo

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Desemba 09, 2021
Vumbi lililotokana na dhoruba za mchanga latokea Cairo
Meli moja ya abiria ilisafiri juu ya Mto Nile kwenye vumbi kubwa.

Desemba 8,vumbi lililotokana na dhoruba za mchanga lilitokea Cairo, Mji Mkuu wa Misri, na kufanya mwonekano wa mji huo kuwa hafifu.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha