

Lugha Nyingine
Barabara Vijijini zaboresha Maisha ya Wanavijiji wa Xinjiang (4)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Desemba 16, 2021
Tarafa, miji ya wilaya na vijiji vyenye sifa vimeunganishwa na barabara za saruji kwenye Jimbo linalojiendesha la kabila la wamongolia la Bayingolin. Mpaka mwisho wa Mwaka 2020, urefu wa jumla wa barabara za vijijini umefikia kilomita 12,898 kwenye eneo hilo la kujiendesha la Mkoa unaojiendesha wa Xinjiang Uyghur. Barabara hizo zimeboresha sana hali ya usafiri wa wakulima na wafugaji.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma