Reli ya mwendo kasi ya Beijing-Zhangjiakou yaadhimisha miaka miwili tangu kuzinduliwa (4)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Desemba 31, 2021
Reli ya mwendo kasi ya Beijing-Zhangjiakou yaadhimisha miaka miwili tangu kuzinduliwa
Abiria wakipanda treni ya reli ya kasi ya Beijing-Zhangjiakou kwenye Kituo cha Treni cha Beijing Kaskazini huko Beijing, Mji Mkuu wa China, Desemba 30, 2021. (Picha na Fang Xin/Xinhua)
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha