Waokoaji wamsaidia kurudi baharini nyangumi aliyekwama huko Zhengjiang, China (5)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) April 21, 2022
Waokoaji wamsaidia kurudi baharini nyangumi aliyekwama huko Zhengjiang, China
Waokoaji wakimsaidia nyangumi aliyekwama katika Wilaya ya Xiangshan ya Ningbo mkoani Zhejiang, Mashariki mwa China, Aprili 19, 2022.

Asubuhi ya Jumatano wiki hii, waokoaji walimsaidia kurudi baharini nyangumi kwenye Wilaya ya Xiangshan ya Mji wa Ningbo mkoani Zhejiang, Mashariki mwa China.

Nyangumi huyo alikwama katika ufukwe wa Xiangshan Jumanne ya wiki hii. (Picha/Xinhua)

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha