

Lugha Nyingine
Mandhari ya Mto Hutuo wa Shijiazhuang, China baada ya urejesho wa hali ya ikolojia (8)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Mei 17, 2022
![]() |
Picha iliyopigwa tarehe 15, Mei, 2022 ikionesha mandhari ya Mto Hutuo wa Mji wa Shijiazhuang, Mkoa wa Hebei, Kaskazini mwa China. (Picha/Xinhua) |
Kutokana na kuzinduliwa kwa mradi wa kulinda na kurejesha hali ya mazingira ya asili, hivi sasa Mto Hutuo umekuwa kivutio cha utalii chenye mandhari nzuri kama iliyochorwa kwenye picha.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma