Zambia yazindua kituo cha kisasa cha mikutano kilichofadhiliwa na China (3)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 01, 2022
Zambia yazindua kituo cha kisasa cha mikutano kilichofadhiliwa na China
Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema (Kulia, mbele) akipokea mfano wa ufunguo wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Kenneth Kaunda kutoka kwa Balozi wa China nchini Zambia Du Xiaohui mjini Lusaka, Zambia, Mei 31, 2022. (Xinhua/Zhang Yuliang)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha