Sikukuu ya Ngalawa za Dragon ya kikabila yashereheshwa Guizhou (2)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 24, 2022
Sikukuu ya Ngalawa za Dragon ya kikabila yashereheshwa Guizhou
Tarehe 22, Juni, 2022, kitambaa cha hariri nyekundu kinatundikwa kwenye kinywa cha dragon katika sherehe ya sikukuu ya ngalawa za dragon ya Wilaya ya Shiping, Mkoa wa Guizho wa Kusini Magharibi mwa China, ili kuomba baraka.

Watu wa kabila la Wamiao wanasherehekea sikukuu ya ngalawa za dragon ya kikabila kwa ajili ya kuomba hali nzuri ya hewa na mavuno. (Picha/Chinanews)

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha