Habari picha: Msanii achora michoro ya kuvutia kwenye kuta huko Yongsheng nchini China (5)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 27, 2022
Habari picha: Msanii achora michoro ya kuvutia kwenye kuta huko Yongsheng nchini China
Picha iliyopigwa Tarehe 24 Juni 2022 kutoka juu ikimwonyesha Liu Zhicheng akifanya kazi ya kuchora ukutani katika mji mdogo wa Sanchuan, Wilaya ya Yongsheng, Mji wa Lijiang, Mkoa wa Yunnan nchini China. (Xinhua/Jiang Wenyao)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha