Mji wa Fuzhou nchini China wahimiza utunzaji wa kijamii kwa wazee (6)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 28, 2022
Mji wa Fuzhou nchini China wahimiza utunzaji wa kijamii kwa wazee
Wazee wakila chakula kwenye kantini ya wazee katika jumuiya iliyoko Wilaya ya Jin'an ya Fuzhou, Juni 21, 2022. (Xinhua/Jiang Kehong)

Tangu Mwaka 2019 Fuzhou imekuwa ikihimiza utunzaji wa kijamii kwa wazee kwa kuwapa huduma za chakula na mihadhara ili kuboresha maisha yao. Sasa wakazi wazee wa mji huo wanaweza kufurahia huduma ya chakula katika zaidi ya kantini 180 zilizopangwa maalumu kwa ajili yao huko Fuzhou. (Xinhua/Jiang Kehong)

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha