Mji mdogo wenye maumbo ya unajimu katika Mkoa wa Guizhou nchini China (3)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 21, 2022
Mji mdogo wenye maumbo ya unajimu katika Mkoa wa Guizhou nchini China
Watu wakitembelea ukumbi wenye umbo la sayari kwenye Kitongoji cha Kedu katika eneo la Pingtang, Mkoa wa Guizhou nchini China, Julai 20, 2022. (Xinhua/Ou Dongqu)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha