Wakulima wanufaika na sekta ya chai katika Wilaya ya Pu'an, Kusini Magharibi mwa China (3)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Februari 24, 2023
Wakulima wanufaika na sekta ya chai katika Wilaya ya Pu'an, Kusini Magharibi mwa China
Picha hii iliyopigwa Februari 23, 2023 ikionyesha wakulima wakichuma majani ya chai katika Wilaya ya Pu'an, Mkoa wa Guizhou, Kusini-Magharibi mwa China. (Xinhua/Yang Wenbin)
(Wahariri wa tovuti:Shixi,Zhao Jian)

Picha