Mkoa wa Shaanxi wa China washuhudia zaidi ya safari 1,000 za treni za mizigo kutoka China hadi Ulaya tangu Mwaka 2023 (2)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Machi 24, 2023
Mkoa wa Shaanxi wa China washuhudia zaidi ya safari 1,000 za treni za mizigo kutoka China hadi Ulaya tangu Mwaka 2023
Treni ya mizigo inayotoa huduma kati ya China na Ulaya ikionekana kwenye Bandari ya Kimataifa ya Xi'an ya Mkoa wa Shaanxi, Kaskazini-Magharibi mwa China, Machi 23, 2023. (Xinhua/Li Yibo)
(Wahariri wa tovuti:Shixi,Zhao Jian)

Picha