Maonyesho ya Tatu ya Kimataifa ya Bidhaa za Matumizi ya China yaanza huko Haikou, China

(Tovuti ya Gazeti la Umma) April 11, 2023
Maonyesho ya Tatu ya Kimataifa ya Bidhaa za Matumizi ya China yaanza huko Haikou, China
Picha hii iliyopigwa Tarehe 10 Aprili 2023 ikionyesha mandhari ya nje ya ukumbi wa Maonyesho ya Tatu ya Kimataifa ya Bidhaa za Matumizi ya China (CICPE) huko Haikou, Mji Mkuu wa Mkoa wa Hainan, Kusini mwa China. (Xinhua/Zhang Liyun)

Zaidi ya chapa 3,300 zenye ubora wa juu kutoka ndani na nje ya China zimekusanyika katika maonyesho hayo, yaliyoanza Jumatatu huko Haikou. 

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha