Xi Jinping aongoza Mkutano wa Kwanza wa Viongozi Wakuu wa China na Nchi za Asia ya Kati na kutoa Hotuba Kuu (2)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Mei 20, 2023
Xi Jinping aongoza Mkutano wa Kwanza wa Viongozi Wakuu wa China na Nchi za Asia ya Kati na kutoa Hotuba Kuu
Rais Xi Jinping wa China ameongoza mkutano wa kwanza wa viongozi wakuu wa China na Nchi za Asia ya Kati huko Xi'an, Mkoa wa Shaanxi, Kaskazini Magharibi mwa China na kutoa hotuba kuu yenye kichwa cha "Kuungana Mikono ili Kujenga Jumuiya ya China na Nchi za Asia ya Kati yenye Mustakabali wa Pamoja unaojumuisha Kusaidiana, Maendeleo ya Pamoja, Usalama wa Wote, na Urafiki kutoka Vizazi hadi Vizazi", Mei 19, 2023. Rais wa Kazakhstan Kassym-Jomart Tokayev, Rais wa Kyrgyzstan Sadyr Japarov, Rais wa Tajikstan Emomali Rahmon, Rais wa Turkmenstan Serdar Berdimuhamedov na Rais wa Uzbekistan Shavkat Mirziyoyev wamehudhuria mkutano huo. (Shen Hong/Xinhua)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha