

Lugha Nyingine
Marais wa China na DRC wafanya mazungumzo (5)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Mei 29, 2023
![]() |
Mchana wa Tarehe 26, Mei, Rais Xi Jinping wa China alifanya mazungumzo na Rais Felix-Antoine Tshisekedi Tshilombo wa Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC), ambaye alikuwa katika ziara ya kitaifa nchini China, kwenye Jumba la Mikutano ya Umma la Beijing. |
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma