China yaishinda Brazil katika Ligi ya Mataifa ya Mpira wa Wavu Mwaka 2023 (2)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 01, 2023
China yaishinda Brazil katika Ligi ya Mataifa ya Mpira wa Wavu Mwaka 2023
Jose Roberto Guimaraes (kati), Kocha Mkuu wa Timu ya kitaifa ya Brazil akitazama wakati wa mchezo wa Ligi ya Mataifa ya Mpira wa Wavu Mwaka 2023 kati ya China na Brazil mjini Nagoya, Japani, Mei 31, 2023. (Xinhua/Zhang Xiaoyu)
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha