Tamasha la 19 la Kimataifa la Katuni la China lafanyika mjini Hangzhou (3)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 21, 2023
Tamasha la 19 la Kimataifa la Katuni la China lafanyika mjini Hangzhou
Watu wakitembelea Maonyesho ya Tamasha la 19 la Kimataifa la Katuni la China huko Hangzhou, Mji Mkuu wa Mkoa wa Zhejiang, Mashariki mwa China, Juni 20, 2023. (Xinhua/Jiang Han)
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha